Friday, November 16, 2012

KINANA ARIPOTI KAZINI OFISI ZA LUMUMBA, DAR

 Wafanyakazi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, wakimkaribisha, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana aliporipoto kwa mara ya kwanza kwenye ofisi hiyo, leo, baada ya kuteuliwa juzi mjini Dodoma..
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwa na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam.


by Bashir Nkoromo

No comments:

Post a Comment