Wednesday, November 7, 2012

Obama Ashinda Uchaguzi Marekani

 
 Jamaa ameshinda kwa raha zake.......


Akiwa na familia yake...ushindi mtam jamanii...


MGOMBEA wa Urais wa Marekani kutoka chama cha Democratic, Barack Obama tayari ameshinda uchaguzi huo. Taarifa ambazo mtandao huu umezipata kutoka vyanzo vyake nchini Marekani Obama ameshinda katika majimbo 281 kiwango ambacho mpinzani wake Mitt Romney wa chama cha Republican hawezi kukifikia tena kwa sasa.
Ingawa idadi fulani ya kura bado inahesabiwa mshindi katika kiti hicho inatakiwa angalau ashinde katika majimbo 270, kiwango ambacho Obama kwa sasa amekivuka hadi muda huu.
Romney hadi sasa ameambulia ushindi wa kura za majimbo 203 tu. Kikawaida ili mgombea aweze kushinda uchaguzi wa Marekani, mgombea anahitaji kupata angalau kura 270 katika majimbo.

Chini ni kile walichokiandika watu maarufu juu ya ushindi wa Barack Obama....

A day to change the world, a chance not to be missed: our tomorrow will be shaped... today!


Perfect Tuesday!! Obama's still president and R.E.D. is out EVERYWHERE!!! Go get that quality music!!! 
News Just In Obama has Won the 2012 Elections! Noma Sana! 
Put one in da air for the Prez!!!! Our dear Obama! 
I JUST GOT OFF STAGE IN COLUMBIA!! CONGRATULATIONS MR. PRESIDENT We are so proud to be American tonight! YES!!! YES! YES!! 
OBAMAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!! 
  
My president is black 
Four more years.... Four more years... Four more years!!!!!!

 
White house bedroom will be rocking tonite!!!

 
INCREDIBLE SPEECH!!!!!! Watching in a room full of diverse people-all truly moved. Thank you America for President Obama-4more yrs.

No comments:

Post a Comment