Thursday, December 10, 2015

Diwani Mkubwa Fella na wenzake waapishwa


2015 inakamilika huku tukishudia list kubwa ya wasanii na watu wengine wenye umaarufu mkubwa wakijitosa kuivaa siasa kwa miguu miwili.
Mkurugenzi wa kundi la ‘Mkubwa na Wanae’, Said Hassan maarufu kwa jina la Mkubwa Fella, aliingia kwenye siasa na kugombea nafasi ya Udiwani ambapo kura zikamtosha na akathibiotishwa kushika nafasi hiyo kwa miaka mitano ijayo…. leo ilikuwa ndio siku yenyewe ambapo Mkubwa Fella ameungana na Madiwani wengine kuapishwa katika Ofisi za Halmashauri ya Temeke.
IMG-20151210-WA0001
Mkubwa Fella baada ya kula kiapo cha kuwatumikia wakazi wa Kata ya Kilungule kwa ngazi ya Udiwani, alikuwa na hizi sentensi chache >>>“Kwanza nashukuru Mungu pili Wadau wangu wote wa Kata yetu ya Kilungule, na Tasnia yetu ya sanaa nawashukuru wasanii wote walionisapoti… pia namshukuru sana rafiki yetu wa wasanii Mh Jakaya Kikwete na Rafiki yangu January Makamba“​– Mkubwa Fella.
IMG_2327
Mkubwa Fella na Madiwani wenzake kwa pamoja kwenye kiapo.
IMG-20151210-WA0002
Mkubwa Fella na Madiwani wenzake wa Temeke baada ya kuapishwa.
IMG-20151210-WA0003
IMG-20151210-WA0004
IMG-20151210-WA0005
IMG-20151210-WA0007
IMG-20151210-WA0008
c646cb990613ba326eb0bfe9796c2801
6a6686ee6acdba8f7572f1a85f1ed62b
0dc448346e88198d641e2a63c9f51289

No comments:

Post a Comment