Friday, August 23, 2013

ANGELLAH KAIRUKI ALIPOTOA BAISKELI KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA VIUNGO



Angella Kairuki akiwa na watoto wake Kemy pamoja na Esta muda mfupi baada ya kukabidhi baiskeli hizo.
Mama kairuki akiongea na mtoto Halima ambaye naye pia alipata baiskeli hiyo.
Wazazi wakiwa na watoto wao baada ya kukabidhiwa baiskeli zao

..........

...............

mtoto mmojawapo wa Mama Kairuki akimuendesha mtoto mmoja wapo aliyekabidhiwa baikeli

Mama Kairuki akiwa na familia yake pamoja na mtoto Halima
Mama Kairuki akisisitiza jambo

Mama Kairukia akimuendesha mtoto Halima





Mheshimiwa akikabidhi  baadhi ya zawadi zingine kwa mzazi kwa niaba ya watoto

Mama yake na Zitto Kabwe ambaye pia ni kiongozi wa SHIVYAWATA akishukuru kwa niaba ya uongozi mzima wa chama hicho
Mtoto akifurahia zawadi zake


No comments:

Post a Comment