Friday, February 15, 2013

HOSPITALI IMETHIBITISHA KIFO CHA MSANII GOLDIE HARVEY,YAELEZA KILICHOSABABISHA KIFO HICHO

 Hatimaye Daktari kutoka  hospitali ambayo Goldie Harvey alipelekwa Reddington Hospital huko Nigeria,amethibitisha kutokea kwa kifo cha msanii na aliyewahi kushiriki BBA kuwa ni kweli amefariki dunia huko Nigeria saa 5 usiku jana.Inasemakana kuwa ugonjwa uliosababisha kifo cha Goldie huyo ni 'pulmonary embolism'.
'Pulmonary Embolism' ni  Ugonjwa wa Kuganda kwa Damu ,ambao husababisha mshipa mkubwa unaosafirisha damu na hewa kwenda kwenye mapafu kuziba.Husababisha mtu kufariki ghalfa.

'Mungu ailaze roho ya Marehemu Mahali Pema Peponi'
  ameen.....

No comments:

Post a Comment