Wednesday, May 20, 2015

EDWARD LOWASSA AHUDHURIA SHEREHE ZA MIAKA 51 ZA MUUUNGANO MJINI DUBAI

Mh Edward Lowassa





Mh Edward Lowassa amehudhuria sherehe za miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar  hii leo mjini Dubai , sherehe hio imefanyika katika hotel ya Shangirla Dubai. sherehe hio iliyoandaliwa na jumuiya ya wa Tanzania wanaoishi katika nchi za falme za kiarabu......safi sana bigdady LOWASSA..

No comments:

Post a Comment