Friday, November 27, 2015

Ziara ya Papa Francis!! Hivi ndivyo Wakenya walivyomkaribisha ....

Papa Francis wa kanisa katoliki duniani ameanza ziara yake katika nchi za Afrika na leo alikuwa Kenya.
Papa Francis alilakiwa na rais wa Kenya Uhuru Kenyatta katika uwanja wa ndege uliopo Nairobi na kuwashukuru Wakenya kwa kumkaribisha vizuri huku akiwatakiwa baraka tele za Mwenyezi Mungu.
Nchi nyingine za Afrika ambazo Papa Francis atatembelea ni pamoja na Uganda pamoja na Jamuhuri ya Afrika ya Kati.
12310702_1176227699072448_7023449470200743242_n

PAPA1
12246753_1176164512412100_9085184381190009282_n

12246609_1176196492408902_5396629347335874284_n
12310605_1176169872411564_3224816055986889371_n

12310524_1176195942408957_6907347762988498579_n

12308666_1176212932407258_4697046452725321664_n
12308425_1176225639072654_7020017918906803636_n

12301729_1176199365741948_6806569745452632934_n
11231854_1176197315742153_8267972046142576520_n

12301629_1176169602411591_6230778873137926893_n

12295369_1176227685739116_4124924506738780839_n

12289727_1176225469072671_9160892973371525038_n

12289632_1176195512409000_8323891445956403269_n

12279179_1176169622411589_8802266997962118971_n

12294743_1176223492406202_249316813490834097_n

PAPA6
PAPA7

No comments:

Post a Comment