Monday, December 31, 2012

WAFANYAKAZI WA GUARDIAN LTD WAKIWA KAZINI SIKU YA MWISHO KWA MWAKA 2012

Bakiliiii
Karama Kenyunko, Juma na sport Lady Renatha Msungu
Camilaaa naye alikuwepooo
nikiwakilishaaaa
Juma akiwa na dada Jose na Da Mwana...chezea Juma weeee
Sport Lady.....
Hii picha sisemi simung'unyii namuogopa huyu kulia
Dada Grace, Mayunga kakubaniaaaa...
Da Zaiiiii akiwa na Bw Matangazo
Kaka Benn
Salehe huyooo
Sanula
Mchora katuni wetu huyoooo Abdul Kingooo
 

wapiga picha wetu wakiwa bizeee, Mzee Fungo na Mweji Mwejii

Makore katuliaaaaaa na swahiba wake Haonga

Mkubwa mwenzangu
Ramadhan Mbwaduke
 Mr Dann Mkate meeenn.....

 warembo wetu wenyeweeee....
Namkubali miaka mia mojaaa...
bosi wangu Mchunguzi.....aminia bosi
dada yangu wa ukweeee
Mtumisi wa Mungu Mashaka Mgeta akiingia ofcn lazima awasalimie wenzake...safi sana mtumishii

Mtumishi akiongea na Boniface Luhanga'Boss'
Mchunguzi akimpa maelekezo Sanula
kuukaribia mwaka mpya c mchezo lazima uuze meno kidogoooo
WAPENZI WANGU WOOOTE WA BLOG HIII  NAWATAKIENI HERI YA MWAKA MPYA NA NAOMBA MSHEREHEKEE KWA AMANI ILI KESHO TUKUTANE TENA.......

No comments:

Post a Comment