Friday, January 4, 2013

RAIS JAKAYA KIKWETE AONGOZA MAMIA KUZIMA MWILI WA SAJUKI


 
.

.

.

Hawa ni miongoni mwa waliokua wanasubiri kuupokea mwili, kwa mbali anaonekana Profesa Jay.

.

Mchekeshaji Masanja Mkandamizaji na Mwimbaji Linex ni miogoni mwa wasanii waliohudhuria, wengine ni pamoja na Mwana Fa, Profesa J, Mzee Kitime na King Kikii.

.

Mwana Fa na Profesa J.

King Kikii Mwana Fa na Profesa J.

Msanii Z Anto akiswali juu ya kaburi la Marehemu Sajuki.

Hapa ndipo alipozikwa Marehemu Sajuki.

Zola D kwa mbali.

Hili gazeti walilokua wanasoma kulikua na habari kuhusu kifo cha Sajuki.

.

.

Mwili ulipokua unaingizwa.

picha za juu kwa hisani ya millardayo.com

Rais Jakaya Kkwete akiendelea na shughuli za mazishi (picha kwa hisani ya issamichuzi.blogspot.com)

mwili wa marehemu SAJUKI ukiingizwa eneo la makaburi(picha kwa hisani ya issamichuzi.blogspot.com)
Rai

No comments:

Post a Comment