Thursday, March 28, 2013

AIRTEL YATOSHA KUFANYA MATAMASHA MIKOA MBALIMBALI

Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando (katikati) akiongea wakati akitangaza kufanyika kwa Matamasha ya Airtel Yatosha katika mikoa mbalimbali ya Tanzania yenye lengo la kutoa burudani sambamba na kuelimisha Jamii na wateja  wake kuhusu huduma za Airtel ikiwemo kuitambulisha huduma mpya ya Airtel Yatosha. Kulia Meneja Mauzo Airtel  Kanda ya Pwani  Raphael Daudi na kushoto ni Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya na kiongozi wa Kundi la Tip Top connection atambulikae kwa jina la Madee
 Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya na kiongozi wa Kundi la Tip Top connection,atambulikae kwa jina la Madee  moja ya kikundi kitakachotumbuiza katika Matamasha ya Airtel Yatosha akiongea wakati wa uzinduzi wa Matamasha hayo leo kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi za Airtel Jijini Dar.Matamasha haya yatawashirikisha wasanii wengine wakiwemo Fid Q,   Juma Nature,   Ney wa Mitego  na Stamina.Katikati ni Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando na Kulia Meneja Mauzo Airtel  Kanda ya Pwani ,Raphael Daudi.

No comments:

Post a Comment