Wednesday, March 27, 2013

SIKU WEMA SEPETU ALIPOMUOKOA KAJALA KWENDA JELA

1
.
Saa saba na nusu.
.
Kesi ikiendelea.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Akishushwa kuingia kwenye karandinga la magereza wakati huo Wema Sepetu, Dr Cheni, Zamaradi Mketema, Petit Man na wengine walikimbia kwenye kuchukua pesa za faini benki.
.
Producer Lamar alikuepo.
.
.
.
Mfuko wa pesa zenyewe baada ya kwenda kuchukuliwa benki.
.
Lulu alikuepo pia.
.
.
.
Kajala akielekea kwenye garila magereza tayari kwa kurudishwa.
.
.
.
Watu wakisubiri kama Kajala ataachiwa manake wakati huu pesa zilikua zimeshapatikana.
.
Wema Sepetu akiongea na waandishi wa habari.
.
.
.
Kajala baada ya kuachiwa huru.
.
.
.
Kajala na mama mzazi.
.
.
.
.
.
.
.
Pamoja na kwamba Wema ndio kalipa hela ya faini, hili gari lake pia ndio lilitumika kumchukua Kajala Mahakamani na kumpeleka nyumbani.

No comments:

Post a Comment