Friday, September 14, 2012

Hii imetulia jamani.....

Karuka,  karuka tena karuka...kakutana na kijana black tayari kasha mpa vitu, hii imetulia ile mbaya.

Na hawa je....? jamaaa naye huyu katembea weeee...hapa toooop

kwa wale wanaopenda nguo za mitoko, kitu hicho, mmekiona? kimetoklezea...

No comments:

Post a Comment