Thursday, September 27, 2012

Sinta 'amvua nguo Okwi' hadharaniii....



Hivi karibuni kulikuwepo na uvumi juu ya mshambuliaji hatari wa timu ya Simba, Emmanuel Okwi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Sinta....jamaa Okwi sijui kitu gani kilimkurupua huko alipo aliibuka na status yake kwenye wall yake ya facebook ambayo bila kuongeza neno ilisema hivi....
"Hi ladies and gentlemen, I wanna take this opportunity tomake my self clear on an issue that has been going on about me and Christine Sinta.. A lot has been published in newspapers and on her blog that we are moving out togetherwhich is WRONG.. I just hope that u will all understand me.. It's been too much for me, i really tried to ignore all that was said about us but i believe it's high time u all know the truth.. Am not moving out with her as she claims.. No truth behind whatever she writes..Thanks to u all for your support..God bless u all..One love.."  

Alikuwa akimaanisha hivi katika lugha yetu ya madafu:
“Mabibi na mabwana, nachukua nafasi hii kuweka sawa uhusiano wangu na Christine Sinta, mengi yameandikwa kwenye vyombo vya habari na mitandano ya kijamii kama blog kuwa tupo pamoja, nasema siyo kweli.“Naamini mtanielewa, nimekwazika sana, nimejitaidi kupuuza yanayosemwa na sasa naamini ni wakati muafaka kujua ukweli,” alisema Okwi.
Ujumbe wake unaendelea: “Sina uhusiano wowote wa kimapenzi na yeye (Sintah) kama anavyodai, na hakuna ukweli wowote kwa anayoyaandika. Nawashukuru wote kwa sapoti yetu, Mungu awabariki.”
Ndugu yangu Sinta baada ya kusoma hayo cheki alivyojibu kwenye blog yake ya Sinta.com....mapenzi ya kibongo bwana...

Ohhhhh yeahhh we chop our money coz we don care
im having my own siesta with ma ladies thats y my baby boy loves me so much
lolest a certain villager wants to stop the unstoppable not knowing that the jiggas are still controlling his mind, when you asked for a war you should be ready because Im a lioness  even if it doesnt eat  for a week will not  become a thin as a goat that eats for everyday .
if you had a gun, i have a bullet proof body, look your self in the mirror and see weather u deserve me????
tell the same people u told that your dating me that you wanted a job to  polish my shoes and washing my  panties for 100usd per month,  and finally O you dont look good at all.
poachers are looking for u in Buwindi  game reserve because you escaped, Gorilla go back where u belong mxiuuuuu.
i get paid for everything i do but you first pay for everything you do.
if ure on heat fold  your p***s and f**k ya a*ss
life goes on under the S,,,,K,,,,,Y.

you look like a gateman you can never make a list of my  pet dogs.
and never  joke with the monk coz always be a  monk.
you should thank Mr Mulindwa  who made u see the black board .
the hunter becomes the hunted so dance  to the tune of my music, you have stepped in hell and now yo will get fire.
go back and take your ajono.
malooooh came from chaloo,eating kaloooooo driving gadigadii,,  okwiiiiii go and cut your filimbi (circumcised) .
im a sophisticated empowered woman and your sophisticated lost dog looking for bones, and at our home dogs eat bread.
 finish what you have started ,this is another side of sexy baby j wake lo
you have just tickled a private part of a tiger lolest.
 i go by the name sintah
j wake lo
the unstoppable
mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe
Nothing but confidence.
 katala-  mtu mjinga
tadoba-kibatari kwasababu ni mweusi kijijini alipooka anahitaji mwanga
halafu sihitaji ushauri nasaha, mkamshauri yeye alieandika fb akijua sitojibu fb ana watu 2000 my website inaangaliwa dunia nzima.
swali nani imekula kwake?? watu 2000 fb au watu zaidi ya million ktk hii no 1 website
muniwacheeee

hiyo ikapita, Sinta akaona haitoshi leo katoa kingine cha ukweli ambacho ametoa lake la rohoni...jamani mapenzi hayaaa.....soma hapa...ila Sinta hata mimi namkubali kama mwanamke anayejiamini safi mama...jiamini.

"Stopppppp kuniandikia pumba huku kuhusu mtu mwenye govinda kaandia fb  hayanihusu
i dont deal with people who have un-sustainable career uwiiii the whole of me the lope lope of all trades haaaaa,
 usisihindane na mimi maana i have got three career hata kama sifanyi moja ninakula je yeye mwenzangu mguu ukivunjika kuna kitu tena???
MA  International relations and Diplomacy as well as queen wa entertainment industry sasa kazi kwako wewe kinuka mkojo
usitukane mamba na bado unapiga simu post itolewe hapa hakitoki kitu ulianza  na mimi namaliza..."
  walitoklezeaga.....

No comments:

Post a Comment