Monday, June 10, 2013


wawooooo my dadaaa....
Pokea pete hii iwe ni alama yaaa.........haaaa shemejii....
Dada Restuta naye akila kiapo cha utii wa milele... safi hiyoo
Wapi mchaga mwenye shepu dunia nzima...B'Shayo... hapana chezea yeye
Wanakumbuka na wao ilivyokuwa miaka kadhaa iliyopita.........
Nikiwa na Mama Simba nje ya Kanisa la Azania Front....

No comments:

Post a Comment