Thursday, June 13, 2013

Wakali wa Tuzo kuanza ziara Juni 22...

Wasanii mbalimbali wa muziki wa kizazi kipya wakiwa katika mkutano wa kutangaza tarehe rasmi ya kuanza kwa ziara ya washindi wote wa tuzo za Kill jijini Dar es Salaam.
Ziara hiyo itaanzia mkoani Dodoma Jumamosi ijayo ya Juni 22 ikihusisha zaidi ya wasanii  24 walioshinda tuzo hizo.

Diamond akiwa kwenye gari yake

Diamond akisalimiana na viongozi wa
 Mashujaa Band

Wakifurahi jambo na Charlz Baba

Diamond akichat......

Roma Mkatoliki akiwa na Diamond

Diamond akichat na  Mkurugenzi mtendaji wa Bia ya
Kilimanjaro, Kavishe










Diamond akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na
Tour ya washindi wa Tuzo za KTMA...

Diamond akisisitiza jambo....
SALUUUTEEEEEEE.......!!!

Joh Makini akizungumza na wandishi wa habari akifafanua
juu ya uwepo wake kwenye Tour hiyo...







Mzee wa Pombe Yangu Madee from Tip-Top Connection alikuwepo pia...
Lady Jaydee akifurahi na Barnaba...
Picha ya Pamoja ya washindi wa tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Award...

Diamond akiwa na Barnaba Boy....









Chalz Baba on the line baada ya mkutano na waandishi
 wa habari huu ulikuwa wakati wa maakuli....

Professor Jay akichena na Diamond....


Msosi time....

Ommy Dimpoz akimmaliza mbavu Diamond

Diamond akiwa na Benn Pol


picha zote kwa hisani ya Thisisdiamond..

No comments:

Post a Comment