Thursday, October 18, 2012

Mr II, Sugu, Baba Sasha ama Joseph Mbilinyi aibuka na hiki...


Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu huku akiwa bize na shughuli za kumlea mtoto wake mpya, Sasha Joseph Mbilinyi, Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi ameibuka na status katika page yake ya facebook ya kulaani vikali kauli za Naibu Waziri bw Malima....sitaki kuongeza chumvi cheki jinsi Mbunge wetu Mbilinyi alivyokisanua....full kujiamini.....kinegaaaaaaaaa.
 Sasha ameshakua.....
Baba Sasha akiwajibika....bizeee tuuuu kumlea Sasha..jamaa kamkologa weeeeee......Chezea Baba Sasha wewee!

No comments:

Post a Comment